Wednesday, August 29, 2012
HEKALU LA MCHUNGAJI GETRUDE RWAKATARE
Muonekano wa mbele

MC na mchungaji Haris Kapiga wa Clouds FM

Mc Harris Kapiga akiwa kazini.
Kabati la vyombo.
Akiwa katika ofisi yake ya nyumbani, kuna sehemu ya kufanyia mikutano,Salon,Studio,na sehemu ya mazoezi.

Ukifika wakati wa misosi kwa wageni.

Midundo na burudani zilitawala,
Chumbani sehemu ya kujipamba.
Kitanda chake cha kulala
---
Mwandishi: Rulea Sanga
Nimeamini kuwa ukifanya kazi ya Mungu kwa uaminifu naye atakulipa hapa hapa dunia, na utakuwa ushuhuda kwa watu wengine. Mama Getrude Rwakatare siku ya Jumapili alikuwa anahamia rasmi katika nyumba yake mpya iliyoko Mbezi Beach jijini Dar es Salaam pembezoni mwa bahari ya Hindi. Waumini wa kanisa hilo wapatao takribani 300 walifika mahali hapo kwa kushuhudia nyumba ya kifahali.
Nimeamini kuwa ukifanya kazi ya Mungu kwa uaminifu naye atakulipa hapa hapa dunia, na utakuwa ushuhuda kwa watu wengine. Mama Getrude Rwakatare siku ya Jumapili alikuwa anahamia rasmi katika nyumba yake mpya iliyoko Mbezi Beach jijini Dar es Salaam pembezoni mwa bahari ya Hindi. Waumini wa kanisa hilo wapatao takribani 300 walifika mahali hapo kwa kushuhudia nyumba ya kifahali.
Mch.
Mh. Getrude Pangalile Rwakatare kabla ya kuhamia kwenye hekalu lake
jipya alikuwa akiishi Mikocheni B katika nyumba ya kifahali pia. Alizidi
kukaa katika uwepo wa Mungu na kufanya kazi yake kwa bidii na kujituma.
Katika mahubiri yake kwa waumini wake amekuwa akiwatabiria watu
mafanikio na watu wamefanikiwa kutokana na utabiri wake. Leo hii imekuwa
zamu kwake ambapo Mungu hakutaka kumuabisha kma mtumishi wake,
akamshangaza kwa muujiza wa kumuwezesha kujenga jumba la kifahari kwa
gharama kubwa sana.
No comments:
Post a Comment
we tell u the truth, you decide how to deal with it.