Thursday, May 23, 2013

Jinsi ya kuondoa chunusi

read and learn..!!Chunusi husababishwa na kuongezeka kwa uzalishaji wa Testosterone hormone na mafuta yamwili wakati wa mabadiliko ya kimwili pia husababishwa na msongo wa mawazo, matatizo ya kisaikolojia.
Product kama Tea Tree Oil, Aloe Vera, Zinc, and Vitamin A ni vitu vya kihalisi vinavyo weza kutibu chunusi na kuna baadhi ya product hazishauriwi kutumiwa na mtu kama unaujauzito au unatatizo la kiafya hivyo unatakiwa kuwasiliana na dactari kabla ya kutumia kwa ushauri.
Kabla ya kuoga ponda nyanya changanya na asali na maji ya roses na paka nyanya kwenye uso wako kaa nayo kwa muda wa dakika 20 kabla ya kuosha.
Usiku kabla ya kulala paka mchanganyiko wa cream, glycerine, and lemon juice kwenye uso wako na kaa nayo kwa muda wa dakika chake kabla ya kuosha.
Pia jambo la muhumu kwa mtu anayesumbuliwa na chunusi ni kunywa maji kwa angalau lita 3 kila siku pia ni muhimu sana kwa ngozi yako, matunda fresh na mboga za majani kwenye diet yako.
Vitu unavyotakiwa kuepuka ni kugusa uso wako mara kwa mara, epusha nywele kugusa uso wako na kutumbua chunusi kiholela.
Pia epuka kupaka make up nyingi usoni ni vizuri kutopaka make up kabisa ukiwa na tatizo la chunusi.

Cracked,chaped & dry lips/kupasuka kwa midomo

read and learn..!!Like the skin on the other body parts lips do not produce natural oils to protect them against low humidity and cold winds. As the weather or the environment changes, lips could be affected. They can chap, dry or crack

Cracked, chapped and dry lips symptoms

Following are the symptoms of dried, chapped or cracked lips Loss of moisture from the lips, Bleeding, Slight pain, Frequent licking of lips, Lips looking dried, rough and red, Peeling, Tenderness of lips, Sensitivity on lips

Cracked, chapped and dry lips causes

Following are the causes of chapped, cracked or dry lips Over exposure to the cold or windy conditions, Over exposure to the sun, Allergies to cosmetic products, Infections, Drugs, Dehydration, Kawasaki disease, Macrocytosis, Riboflavin deficiency, Sjogren's syndrome, Frequent use of soaps and other chemicals, Deficiency of vitamin A, B and C, Smoking, History of skin disorder.


When the lips are chapped or dry do not attempt to lick them, this will make you feel better only for short time. Once the saliva evaporates the condition will worsen. Your lips could be in problem because of your ill-fitting dentures, in such case consult your dentist.

Cracked, chapped and dry lips remedies
Following are the remedies for dry, chapped or cracked lips Apply glossy lipstick on you lips, Use unflavored lip balm on your lips, Avoid flavored tooth paste, Use a humidifier to humidify your lips, Increase intake of water and other non alcoholic liquids, Rub cucumber slice on your lips, Apply margosa leaf extract on your lips, Put some aloe vera gel on your lips, Take a saline bath.

Cracked, chapped and dry lips : Home RemediesVitamin A is very important for the growth and repair of the skin. See to it that your diet provides you with sufficient quantity of vitamin A. Carrots, tomatoes and green leafy vegetables are the good sources of vitamin A.

Other Diet

Make a vitamin rich juice by adding 1 tbsp. of water cress, carrot and spinach juice, 2 tbsp. wheat germ oil, one glass of tomato juice, and 1 tbsp. of nutritional yeast. Eat whole grains, legumes and nutritional yeast.

Visit Dermatologist


If home remedies do not work than it is advisable to see a dermatologist as soon as possible

Jinsi ya kutambua ngozi yako ya aina gani

read and learn..!!
 
Ni vizuri sana kwako kuweza kujua aina ya ngozi yako maana itasidia wewe uweze kuitunza ngozi yako vizuri.Vile vile itakusaidi katika kujua ni vipozi vya aina gani utumie kutokana na ngozi yako. Hakuna ngozi mbili ambazo zinafanana exactly ila zinatofautiana ambapo inawezekana ngozi yako ikawa ni Ngozi Kavu, Ngozi ya Kawaida, Ngozi ya mafuta na ngozi mchanganyiko yaani combine skin. 
 
Ili kujua ngozi yako ni ya aina gani osha uso wako kwa kutumia sabuni ya kusafishia uso then baada ya dakika 30 chukua tishu na futa sehemu ya paji lako la uso, kwenye pua, kidevu na mashavu. 
 
Kama tishu hiyo haitaonyesha kuwana mafuta baada ya kufuta basi ngozi yako itakua ni aina ya ngozi kavu
 
Ngozi kavu huwa inaonekana rough na hukabiliwana mistari na wrinkles lakini kama ngozi yako kuna sehemu nyingine inakua kavu sehemu nyingine inakua na mafuta basi ngozi yako itakua ni ngozi mchanganyiko. 
Ngozi ya kawaida au Normal skin huwa inaonekana laini na ngozi hii ya mafuta ukiigusa unayahisi mafuta na huwa inang`aa. Ngozi hii ya mafuta huwa inakabiliwa sana na blackheads na pimples/chunusi na kwa kuwa ngozi hii ni sensitive inahitaji special care na umakini na vipodozi unavyopaka kwenye uso wako. 
 
Kwa watu wenye ngozi sensitive kama hii ni lazima kutumia misaada ya ushauri kwa wataalamu wa ngozi ili kulinda ngozi zao kupata mzio/allergic. Ni lazima mara kwa mara uwe na utaratibu maalum wa kuihudumia ngozi yako kulingana na mahitaji ya ngozi yako na huenda ikachukua muda mrefu kwa ngozi yako kurudia ha

Njia za Uzazi wa Mpango na Madhara yake

MADHARA YA MATUMIZI YA VIZUIA MIMBA


...Leo Naomba Tuwe wawazi kwa hili.Wale waliowahi kutumia njia mbali mbali za uzazi wa Mpango..kama vile
 1.Vidonge vya Majira
2.Njia vijiti.
3.Sindano,
Na wameshapata madhara mpaka ikawapelekea kulazwa,kuumwa sana na matatizo lukuki.Waweke ushahidi wao humu,kutufahamisha madhara hayo.

Nilikuwa nasikiliza Radio frequency 102.00,wadada wameshuhudia matatizo waliyoyapata,ambayo imewapelekea kutaka kuanzisha shirika litwalo HATUTA NYAMAZA,Litakuwa na Wahanga wa njia hizo na watapaza sauti zao kupinga matumizi ya njia hizo.Wao binafsi wamepata madhara makubwa.
Inasemekana hata kansa ya titi,kansa ya mlango wa kizazi,husababishwa na Matumizi ya vidonge kwa Muda mrefu...
Taifa linaitaji kujikomboa
1.kifikra
2.kiuchumi
3.kiafya.

Taasisi za serikali na zisizo za serikali wanatumia hela nyingi kuhamasisha matumizi ya njia hizo kwa kutaja faida bila Madhara.

hii thread walengwa wakubwa ni Wanawake walio kwenye ndoa,Wanaume wanaoshuhudia wake zao haya yakiwapata.Kila aliepata athari atatushuhudia ili tujue na tuelewe.

Kinadharia, athari ya vidonge vya majira zinaweza kuangukia katika makundi mawili:

1) Kabla ya kujipandikiza, itakuwa na athari za kupunguza uwezo wa kusafirisha mimba katika mirija ya uzazi (fallopian tube) na hivyo huzuia mimba kujipandikiza katika mji wa mimba na hali hii inaweza kusababisha kutotambulika kwa mimba hiyo ikiharibika au mimba hiyo kujipandikiza nje ya mirija hiyo.

2) Kuharibika kwa ngozi nyororo ya tumbo la uzazi kwa namna kwamba mimba hiyo baada ya kufikia mji wa mimba, inashindwa kujipandikiza katika ngozi nyororo.

3) Kutoa mimba kunakosababishwa na mimba hiyo kushindwa kukaa katika mji wa mimba;
mimba inajipandikiza lakini baadaye ina kufa kutokana na mji huo kushindwa kuhifadhi mimba hiyo.

1. Mabadiliko ya ngozi nyororo Vidonge (Oral Contraceptives), huathiri moja
kwa moja ngozi nyororo kwa kuifanya ngozi hiyo isiweze kupokea na kutunza mimba iliyotungwa. Hali hiyo hutokea kwa sababu vidonge hivyo huharibu ngozi nyororo ambayo hufanya kazi kama kitanda cha mtoto.

Ngozi hiyo inakuwa nyembamba iliyotanuliwa, iliyochoshwa na nyamanyama zake kubaduliwa kwa kuharibu chembechembe za ngozi nyororo na kwa kuharibu chakula cha mtoto kitengenezwacho katika ngozi hiyo.

2. Mabadiliko ya Chachu ziitwazo ‘Integrin’ Chachu za ‘intergrin’ ni muunganiko wa molekule ambazo hutengeneza mazingira ya upokeaji wa mimba katika ngozi nyororo ya tumbo la uzazi. Chachu hizi zikiharibiwa, mazingira ya upokeaji wa mimba huharibiwa pia yaani, kuifanya mimba isiweze kusafiri kutoka kwenye mirija ya uzazi kwenda kwenye mji wa mimba.

3 Kuongezeka kwa mimba nje ya mji wa mimba Utafiti umeonesha kuwa wanawake wanaotumia vidonge (OC’s) wamo katika hatari kubwa ya kupata mimba nje ya tumbo la uzazi ukilinganisha na wanawake wasiotumia.

Utafiti uliofanywa katika nchi 17 zenye jumla ya vituo 33 na uliowahusu watu 2800 umethibitisha kuwa matumizi
ya vidonge, yanaongeza uwezekano wa kupata mimba nje ya tumbo la uzazi. Mimba hizi za nje ya tumbo la uzazi (ectopic pregnancy) huhatarisha sana uhai wa mama. Watumiao vidonge vya progestin (POP’s) Vilevile wamo katika hatari kubwa ya kupata mimba nje ya tumbo la uzazi. SOURCE JAMIIFORUM MEMBER

Nick Minaj's ft Lil wayne high school's song rilycs

surprising words......!!!!

Wema Sepetu's dad

u can see miss Wema Sepetu..but aliyesimama katikati yake ni Mr Abraham Sepetu who is the biological father of our drama queen along side their closest family friend.

Camp mullaZ another video(new n hot)

check out the new campmulla video...featured Anifest

Ney wa Mitegoz Love

am super sure dat u dont knw if Nay wa Mitego ni baba
mtarajiwa. and dat mostly Nay amekuwa akiweka picha ya mamakijacho huyo huoni properly so ona picha yake inayoonekana vizuri zaidi.
Tazama picha hizi za shemeji/wifi yetu zilizochukuliwa kwenye
 show ya Nay na Diamond, Dar Live weekend iliyopita.
Diamond anajaribu kumake dem kiss in public
mum to be......Jina lake anaitwa Siwema.....
cheki picha hii can u see da katumbo of the bibie..?? yea thats Ney's unborn child 'z home

BLACK IS BEAUTY

WADADA WALIOAMUA KUENDELEZA URITHI WETU (AFRICA)

vanessa Mdee

Fiderine Iranga

Aunt Ezekiel
Zamaradi M
Irene Uwoya
Linah baby
Dina n Sakina 
Miriam Odemba
hawa ndio wa wadada wa TZ ambao wamedhihirisha that they are proud to be black..and that black is beautiful...kutoka kwao tunajifunza kwamba kujikubali ndo mpango mzima..especially for ladies.

kuwa mmoja wao  USIJICHUBUE .


Unbelievable


MSICHANA ANAYEDAI KUBAKWA NA MBUNGE WA TANZANIA

Flora Bahati Lyimo a.k.a Mbuta Nanga

Mbuta nanga


Binti mrembo aitwaye Flora Bahati Lyimo anamtuhumu mbunge mmoja wa

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 



Akiendelea kuweka wazi kisa hicho, Flora anasema: “Nikiwa kwenye mkutano….(jina la mbunge) alinifuata akaniuliza nimeandika watu wangapi waliohudhuria mkutano huo, nikamjibu 50 akaniambia niongeze idadi hiyo ili ionekane mkutano ulikuwa na watu (Watanzania waishio Uingereza) wengi.
“Mkutano ulimalizika, sasa nilipokuwa naondoka kurudi nyumbani kwangu, mbunge huyo na wenzake nao walitoka. 


Tukiwa njiani wenzake walikwenda kujisaidia haja ndogo, yeye akaniomba akajisaide nyumbani kwangu, nilimkubalia. 


Alipofika ndani, bila kujua kila kitu kinaonekana kwenye kamera alinibadilikia kama vile adui vitani, ona sasa wema wangu ukawa umeniponza.
Alinirukia, akaniburuza hadi kitandani kwangu. Nilipokuwa mkali na kwa namna nilivyokuwa nimechanganyikiwa sishikiki ndipo akanivamia maungoni, akanichania nguo zangu akitaka nimwachie atimize lengo lake la kuniingilia kimwili kwa nguvu.
 

“Nilijitahidi ili asifanikiwe, nikamwambia amekwisha kwani lazima nimwanike ndipo akanipiga nusu aniue akisisitiza kuwa kama nitauanika uovu wake huo au kuchukua hatua zozote ataniua.
 

“Inaniuma sana, kunibaka anibake halafu atishie kuniua, unyama gani huu?”
Flora anaendelea kusema:
“Katika purukushani hiyo, nilipopata mwanya kidogo tu, nikapiga namba ya polisi 999 kuomba msaada. Alipoona hivyo alitoka na kutokomea kusikojulikana. Polisi walipofika hawakufanikiwa kumkamata.”

Flora alisema polisi walimchukua na kila kitu cha ushahidi zikiwemo nguo zake hadi kituoni, wakamhoji kwa kumrekodi sauti, wakampa namba ya jalada la kesi inayosomeka; 4621279/2012-UBAKAJI/KUTISHIA KUUA ambapo hadi leo mbunge huyo anasakwa na Polisi wa London, akikanyaga tu Uingereza lazima akamatwe akajibu tuhuma za ubakaji na kutishia kuua.
 

Flora akaongeza: “Ukweli ni kwamba hakufanikiwa kukamatwa kwa sababu alikuwa na passport za kidiplomasia ambazo nyingine hakutumia jina lake halisi.
“Januari mwaka huu nilipotaka kurudi nyumbani Kilimanjaro, mahakama ya hapa (Uingereza) ilinipa barua ambayo nilipofika niliipeleka Kituo Kikuu cha Polisi Moshi nikafunguliwa faili Namba Mos/RB/17127/12 kwa ajili ya ulinzi chini ya R.C.O Ramadhan Ng’anza.

“Niliwaeleza kuwa mtu anayetaka kuniua ni mbunge huyo. Kweli waliahidi 

kunisaidia, nilipoondoka kurudi London niliwasiliana na polisi Kilimanjaro lakini niliona kama kuna kitu au mbunge huyo yupo juu ya sheria kwani walikana 


kunifahamu.


“Sitachoka kutafuta haki na kutetea wanawake wanaobakwa kila siku wanaona 


aibu kusema, naamini aibu haipo kwa mbakwaji bali kwa mbakaji, yule ….


Flora allisema kama kweli mbunge huyo ni mwanaume aende tena jijini London 

kama hatasimamishwa kizimbani na kuozea jela.

Nyumba ya mama Getrude Rwakatare


Wednesday, August 29, 2012

HEKALU LA MCHUNGAJI GETRUDE RWAKATARE


 Muonekano wa mbele
 MC na mchungaji Haris Kapiga wa Clouds FM
 
 Mc Harris Kapiga akiwa kazini.
 Kabati la vyombo.
 Akiwa katika ofisi yake ya nyumbani, kuna sehemu ya kufanyia mikutano,Salon,Studio,na sehemu ya mazoezi.
 Ukifika wakati wa misosi kwa wageni.
Midundo na burudani zilitawala,
 Chumbani sehemu ya kujipamba.

Kitanda chake cha kulala
---
Mwandishi: Rulea Sanga

Nimeamini kuwa ukifanya kazi ya Mungu kwa uaminifu naye atakulipa hapa hapa dunia, na utakuwa ushuhuda kwa watu wengine. Mama Getrude Rwakatare siku ya Jumapili alikuwa anahamia rasmi katika nyumba yake mpya iliyoko Mbezi Beach jijini Dar es Salaam pembezoni mwa bahari ya Hindi. Waumini wa kanisa hilo wapatao takribani 300 walifika mahali hapo kwa kushuhudia nyumba ya kifahali.

Mch. Mh. Getrude Pangalile Rwakatare kabla ya kuhamia kwenye hekalu lake jipya alikuwa akiishi Mikocheni B katika nyumba ya kifahali pia. Alizidi kukaa katika uwepo wa Mungu na kufanya kazi yake kwa bidii na kujituma. Katika mahubiri yake kwa waumini wake amekuwa akiwatabiria watu mafanikio na watu wamefanikiwa kutokana na utabiri wake. Leo hii imekuwa zamu kwake ambapo Mungu hakutaka kumuabisha kma mtumishi wake, akamshangaza kwa muujiza wa kumuwezesha kujenga jumba la kifahari kwa gharama kubwa sana.

Fast and furious 6 is coming soon

This is their final trailer ladies and gentlemen...it will in released in Tanzania a.k.a Bongo on 24th may 2013..just few hour may peoplezzzz!!!!!!!!

Kim kardashians scared of miscarriage

later on, Kim's doctor proved that the baby mama was alright and that she shouldn't fear..because the baby is doing just fine.

Effects of Marijuana

Short and Long Term Effects

This drug can affect your health, both long and short term, and your driving — in a really bad way.

Effects While Driving

Smoking or eating marijuana slows down your responses to sights and sounds, making you a dangerous driver. Marijuana makes you sleepy, distorts your sense of time and space, and hurts your ability to adapt to light and dark. It also lowers your ability to handle a quick series of tasks while driving. So a marijuana user’s biggest driving problem is unexpected events, such as a car approaching from a side street or a child running into the street. This poor reaction time is worse when you’re driving at night because marijuana also causes a severe loss of night vision.

Short-Term Effects

In low doses, marijuana produces:

  • Poor memory and ability to learn
  • Difficulty in thinking and solving problems
  • Poor muscle coordination and judgment
  • Short attention span
  • Dangerous driving behavior
  • Altered sense of time and space
  • Food cravings

In larger doses, marijuana produces:

  • Hallucinations
  • Delusions
  • Poor memory
  • Not knowing where one is
  • Anxiety attacks or feelings of paranoia
  • Depression

Long-Term Effects

  • Cancer. Marijuana contains the same cancer-causing chemicals found in tobacco smoke.
  • Breathing problems. It creates the same kinds of breathing problems that cigarettes do: coughing and wheezing.
  • Immune system. The THC in marijuana can damage the cells and tissues in the body that help protect against disease.
  • Memory, learning, and energy are impaired.
  • Fertility. Reproductive hormones are decreased. In men, there is less testosterone, causing decreased sperm counts and possible erectile dysfunction. In women, there may be irregular periods. Both problems would result in a decreased ability to conceive but not lead to complete infertility.
  • Birth defects in unborn children.

Wednesday, May 22, 2013

The illuminant musicians

see our best musicians who have sold their souls to the devil, people like beyonce and jay-z..this might scare you..

The importance of water in our life diet




Importance of Water in the Diet

 
Water.  Most of us take it for granted.  But have you every taken a moment to stop and think just how important water is to you?  For the human body, water is truly a vital resource.  You can go weeks without food but only 5-7 days without water.  When the water in your body is reduced by just 1 percent, you become thirsty.  At 5 percent, muscle strength and endurance declines significantly and you become hot and tired.  When the loss reaches 10 percent, delirium and blurred vision occur.  A 20 percent reduction results in death. 
 
There is no more important nutrient for our bodies than water.  No other substance is as widely involved in the processes and make up of the body.  A man's body is about 60 percent water, and a woman's is approximately 50 percent.  Did you know that the human brain is about 75 percent water? 
 
Tissue Percent Water
Blood 83.0
Heart 79.2
Muscle 75.6
Brain 74.8
Skin 72.0
Bone 22.0
 
Every day, we lose 2-3 quarts of water through urination, sweating and breathing.  Since many of the processes within the body rely greatly on water, it is important we replace our fluids regularly to compensate for this loss. 
 

 
Water as a Solvent: 
Water is the fundamental solvent for all biochemical processes in our bodies.  Because water is highly polar (has an unequal distribution of charge), it is an excellent solvent for other charged and polar molecules.  Hemoglobin, carbonates, various proteins, and many other molecules in the body use water as a solvent. 
 

Water as a Transporter: 
Once a substance is dissolved in water, water becomes very important for transporting it throughout the body.  Blood, which is 83 percent water, transports oxygen, CO2, nutrients, waste products, and more from cell to cell.  Urine is also mostly water. Another very important transporter, urine removes waste products from the body.  If we don't get enough water and can't produce enough urine, toxic levels of wastes build up in the body and we can become very sick or even die. 
Protection:  
Water is needed for protection as well.  It keeps your mouth moist and washes away dirt and grim on your eyes.  Water even lubricates our joints, keeping them from getting stiff and making sure motion is smooth. 
Chemical Reactant: 
As a chemical reactant, water is involved in many processes and pathways of the body.  We use it to digest food in the gastrointestinal tract, to access stored energy for muscles and organs, and for countless other reactions.  Next, we will examine one of these reactions in detail and see how water helps regulate pH in the body. 
pH regulation:  
Our bodies must maintain a very specific pH level of 7.4.  pH values less than 6.9 and greater than 7.6 are life threatening so it is essential that we have ways to keep pH from deviating too far from normal.  Water is a reactant in a very important reaction that maintains pH at 7.4. 
 

This reaction takes place in the blood: 
CO2 + H20 <==> H2CO3 <==> H+ + HCO3
Can you see water's role?  If pH is too high (too few H+ ions), water reacts with carbon dioxide to create more H+ ions, lowering the pH.  A pH lower than 7.4 shifts the above reaction to the left, using up H+ ions, creating CO2 and H2O and raising pH.   It is important that this reaction go back and forth to maintain equilibrium. 
Electrolyte Balance:  
Water is very important in maintaining electrolyte balance within our bodies.  Electrolytes are charged ions (such as Na+ or Cl-) which must be kept at certain levels to maintain the proper amount of water in our cells.  Electrolytes transmit all sorts of information to our brains in the form of nerve impulses and are important in muscular activity as well.  To maintain electrolytes at the proper level in our cells, water flows in and out of the cell to make sure that these ions remain in balance. 
Temperature Regulation:  
In our homes, the air conditioner keeps things cool.  But how does our body stay cool?  Well, we actually have our own natural air conditioning system.  Bet you can guess what it is... 
That's right, water!  The most important way water regulates our body temperature is through sweat.  Our normal body temperature is 98.6 degrees Fahrenheit.  When you go outside in the sun, you'll probably begin to sweat in no time, especially if you're active.  But why does the body need to sweat?  Sweat is a way for the body to cool itself down.  When we sweat, it evaporates on our skin, drawing heat away from the body and cooling us down. 
Exercise and Water: 
When we exercise, water loss through sweat can reach 1-2L per hour!  If you are exercising in warm weather, water should be replenished every 15 minutes in order to keep muscles strong and body temperature down.  This is especially crucial for long endurance events, which is why cyclists (who strip away every unnecessary ounce of equipment) still carry water with them. 
Water is vital in delivering oxygen to muscles and helps the body perform physical labor more efficiently.There fore we as human beings should always consider water in our daily diets so as to have better health condition.