Thursday, May 23, 2013

Jinsi ya kuondoa chunusi

read and learn..!!Chunusi husababishwa na kuongezeka kwa uzalishaji wa Testosterone hormone na mafuta yamwili wakati wa mabadiliko ya kimwili pia husababishwa na msongo wa mawazo, matatizo ya kisaikolojia.
Product kama Tea Tree Oil, Aloe Vera, Zinc, and Vitamin A ni vitu vya kihalisi vinavyo weza kutibu chunusi na kuna baadhi ya product hazishauriwi kutumiwa na mtu kama unaujauzito au unatatizo la kiafya hivyo unatakiwa kuwasiliana na dactari kabla ya kutumia kwa ushauri.
Kabla ya kuoga ponda nyanya changanya na asali na maji ya roses na paka nyanya kwenye uso wako kaa nayo kwa muda wa dakika 20 kabla ya kuosha.
Usiku kabla ya kulala paka mchanganyiko wa cream, glycerine, and lemon juice kwenye uso wako na kaa nayo kwa muda wa dakika chake kabla ya kuosha.
Pia jambo la muhumu kwa mtu anayesumbuliwa na chunusi ni kunywa maji kwa angalau lita 3 kila siku pia ni muhimu sana kwa ngozi yako, matunda fresh na mboga za majani kwenye diet yako.
Vitu unavyotakiwa kuepuka ni kugusa uso wako mara kwa mara, epusha nywele kugusa uso wako na kutumbua chunusi kiholela.
Pia epuka kupaka make up nyingi usoni ni vizuri kutopaka make up kabisa ukiwa na tatizo la chunusi.

Cracked,chaped & dry lips/kupasuka kwa midomo

read and learn..!!Like the skin on the other body parts lips do not produce natural oils to protect them against low humidity and cold winds. As the weather or the environment changes, lips could be affected. They can chap, dry or crack

Cracked, chapped and dry lips symptoms

Following are the symptoms of dried, chapped or cracked lips Loss of moisture from the lips, Bleeding, Slight pain, Frequent licking of lips, Lips looking dried, rough and red, Peeling, Tenderness of lips, Sensitivity on lips

Cracked, chapped and dry lips causes

Following are the causes of chapped, cracked or dry lips Over exposure to the cold or windy conditions, Over exposure to the sun, Allergies to cosmetic products, Infections, Drugs, Dehydration, Kawasaki disease, Macrocytosis, Riboflavin deficiency, Sjogren's syndrome, Frequent use of soaps and other chemicals, Deficiency of vitamin A, B and C, Smoking, History of skin disorder.


When the lips are chapped or dry do not attempt to lick them, this will make you feel better only for short time. Once the saliva evaporates the condition will worsen. Your lips could be in problem because of your ill-fitting dentures, in such case consult your dentist.

Cracked, chapped and dry lips remedies
Following are the remedies for dry, chapped or cracked lips Apply glossy lipstick on you lips, Use unflavored lip balm on your lips, Avoid flavored tooth paste, Use a humidifier to humidify your lips, Increase intake of water and other non alcoholic liquids, Rub cucumber slice on your lips, Apply margosa leaf extract on your lips, Put some aloe vera gel on your lips, Take a saline bath.

Cracked, chapped and dry lips : Home RemediesVitamin A is very important for the growth and repair of the skin. See to it that your diet provides you with sufficient quantity of vitamin A. Carrots, tomatoes and green leafy vegetables are the good sources of vitamin A.

Other Diet

Make a vitamin rich juice by adding 1 tbsp. of water cress, carrot and spinach juice, 2 tbsp. wheat germ oil, one glass of tomato juice, and 1 tbsp. of nutritional yeast. Eat whole grains, legumes and nutritional yeast.

Visit Dermatologist


If home remedies do not work than it is advisable to see a dermatologist as soon as possible

Jinsi ya kutambua ngozi yako ya aina gani

read and learn..!!
 
Ni vizuri sana kwako kuweza kujua aina ya ngozi yako maana itasidia wewe uweze kuitunza ngozi yako vizuri.Vile vile itakusaidi katika kujua ni vipozi vya aina gani utumie kutokana na ngozi yako. Hakuna ngozi mbili ambazo zinafanana exactly ila zinatofautiana ambapo inawezekana ngozi yako ikawa ni Ngozi Kavu, Ngozi ya Kawaida, Ngozi ya mafuta na ngozi mchanganyiko yaani combine skin. 
 
Ili kujua ngozi yako ni ya aina gani osha uso wako kwa kutumia sabuni ya kusafishia uso then baada ya dakika 30 chukua tishu na futa sehemu ya paji lako la uso, kwenye pua, kidevu na mashavu. 
 
Kama tishu hiyo haitaonyesha kuwana mafuta baada ya kufuta basi ngozi yako itakua ni aina ya ngozi kavu
 
Ngozi kavu huwa inaonekana rough na hukabiliwana mistari na wrinkles lakini kama ngozi yako kuna sehemu nyingine inakua kavu sehemu nyingine inakua na mafuta basi ngozi yako itakua ni ngozi mchanganyiko. 
Ngozi ya kawaida au Normal skin huwa inaonekana laini na ngozi hii ya mafuta ukiigusa unayahisi mafuta na huwa inang`aa. Ngozi hii ya mafuta huwa inakabiliwa sana na blackheads na pimples/chunusi na kwa kuwa ngozi hii ni sensitive inahitaji special care na umakini na vipodozi unavyopaka kwenye uso wako. 
 
Kwa watu wenye ngozi sensitive kama hii ni lazima kutumia misaada ya ushauri kwa wataalamu wa ngozi ili kulinda ngozi zao kupata mzio/allergic. Ni lazima mara kwa mara uwe na utaratibu maalum wa kuihudumia ngozi yako kulingana na mahitaji ya ngozi yako na huenda ikachukua muda mrefu kwa ngozi yako kurudia ha

Njia za Uzazi wa Mpango na Madhara yake

MADHARA YA MATUMIZI YA VIZUIA MIMBA


...Leo Naomba Tuwe wawazi kwa hili.Wale waliowahi kutumia njia mbali mbali za uzazi wa Mpango..kama vile
 1.Vidonge vya Majira
2.Njia vijiti.
3.Sindano,
Na wameshapata madhara mpaka ikawapelekea kulazwa,kuumwa sana na matatizo lukuki.Waweke ushahidi wao humu,kutufahamisha madhara hayo.

Nilikuwa nasikiliza Radio frequency 102.00,wadada wameshuhudia matatizo waliyoyapata,ambayo imewapelekea kutaka kuanzisha shirika litwalo HATUTA NYAMAZA,Litakuwa na Wahanga wa njia hizo na watapaza sauti zao kupinga matumizi ya njia hizo.Wao binafsi wamepata madhara makubwa.
Inasemekana hata kansa ya titi,kansa ya mlango wa kizazi,husababishwa na Matumizi ya vidonge kwa Muda mrefu...
Taifa linaitaji kujikomboa
1.kifikra
2.kiuchumi
3.kiafya.

Taasisi za serikali na zisizo za serikali wanatumia hela nyingi kuhamasisha matumizi ya njia hizo kwa kutaja faida bila Madhara.

hii thread walengwa wakubwa ni Wanawake walio kwenye ndoa,Wanaume wanaoshuhudia wake zao haya yakiwapata.Kila aliepata athari atatushuhudia ili tujue na tuelewe.

Kinadharia, athari ya vidonge vya majira zinaweza kuangukia katika makundi mawili:

1) Kabla ya kujipandikiza, itakuwa na athari za kupunguza uwezo wa kusafirisha mimba katika mirija ya uzazi (fallopian tube) na hivyo huzuia mimba kujipandikiza katika mji wa mimba na hali hii inaweza kusababisha kutotambulika kwa mimba hiyo ikiharibika au mimba hiyo kujipandikiza nje ya mirija hiyo.

2) Kuharibika kwa ngozi nyororo ya tumbo la uzazi kwa namna kwamba mimba hiyo baada ya kufikia mji wa mimba, inashindwa kujipandikiza katika ngozi nyororo.

3) Kutoa mimba kunakosababishwa na mimba hiyo kushindwa kukaa katika mji wa mimba;
mimba inajipandikiza lakini baadaye ina kufa kutokana na mji huo kushindwa kuhifadhi mimba hiyo.

1. Mabadiliko ya ngozi nyororo Vidonge (Oral Contraceptives), huathiri moja
kwa moja ngozi nyororo kwa kuifanya ngozi hiyo isiweze kupokea na kutunza mimba iliyotungwa. Hali hiyo hutokea kwa sababu vidonge hivyo huharibu ngozi nyororo ambayo hufanya kazi kama kitanda cha mtoto.

Ngozi hiyo inakuwa nyembamba iliyotanuliwa, iliyochoshwa na nyamanyama zake kubaduliwa kwa kuharibu chembechembe za ngozi nyororo na kwa kuharibu chakula cha mtoto kitengenezwacho katika ngozi hiyo.

2. Mabadiliko ya Chachu ziitwazo ‘Integrin’ Chachu za ‘intergrin’ ni muunganiko wa molekule ambazo hutengeneza mazingira ya upokeaji wa mimba katika ngozi nyororo ya tumbo la uzazi. Chachu hizi zikiharibiwa, mazingira ya upokeaji wa mimba huharibiwa pia yaani, kuifanya mimba isiweze kusafiri kutoka kwenye mirija ya uzazi kwenda kwenye mji wa mimba.

3 Kuongezeka kwa mimba nje ya mji wa mimba Utafiti umeonesha kuwa wanawake wanaotumia vidonge (OC’s) wamo katika hatari kubwa ya kupata mimba nje ya tumbo la uzazi ukilinganisha na wanawake wasiotumia.

Utafiti uliofanywa katika nchi 17 zenye jumla ya vituo 33 na uliowahusu watu 2800 umethibitisha kuwa matumizi
ya vidonge, yanaongeza uwezekano wa kupata mimba nje ya tumbo la uzazi. Mimba hizi za nje ya tumbo la uzazi (ectopic pregnancy) huhatarisha sana uhai wa mama. Watumiao vidonge vya progestin (POP’s) Vilevile wamo katika hatari kubwa ya kupata mimba nje ya tumbo la uzazi. SOURCE JAMIIFORUM MEMBER

Nick Minaj's ft Lil wayne high school's song rilycs

surprising words......!!!!

Wema Sepetu's dad

u can see miss Wema Sepetu..but aliyesimama katikati yake ni Mr Abraham Sepetu who is the biological father of our drama queen along side their closest family friend.

Camp mullaZ another video(new n hot)

check out the new campmulla video...featured Anifest